2022 Top Ten of Conflict

Vladimir Putin
Vladimir Vladimirovich Putin, ni mwanasiasa wa nchini Urusi. Mara nne alichaguliwa kuwa Rais wa Shirikisho la Urusi, mara ya mwisho kwenye mwaka 2018; awamu za kwanza zilikuwa kutoka 2000 hadi 2008. Kuanzia Agosti 1999 hadi Mei 2000, tena kuanzia 2008 hadi 2012 alikuwa waziri mkuu wa Urusi. Baadaye aligombea tena uraisi aliporudishwa mwaka 2018
Ontario, California
Ontario ni mji wa Marekani katika jimbo la California. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2000, mji una wakazi wapatao 170,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 282 kutoka juu ya usawa wa bahari. Eneo lake ni 129 kmĀ²
California
California ni jimbo la Marekani upande wa magharibi-kusini ya nchi. Iko kwenye pwani ya Pasifiki ikipakana na Meksiko
Ewald Frank
Ewald Frank ni mhubiri wa Ujerumani, mwanzilishi na kiongozi wa Freie Volksmission huko Krefeld. Yeye ni mfuasi wa mhubiri William Branham na anawakilisha mafundisho yake maalum katika hotuba na maandishi. Frank Pia ana uhusiano na na ma kanisa yote yalio amini kama yeye
Future
Nayvadius DeMun Cash ni mwimbaji, mwandishi, mtayarishaji wa rekodi wa Marekani aliyeshinda Tuzo la Grammy
Zuhura Yunus
Zuhura Yunus ni mkurugenzi wa mawasiliano Ikulu na mwanamke wa kwanza kushika nafasi hiyo Tanzania. Ameteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan tarehe 1 Februari 2022
Alama
Alama ni kitu, mchoro, maandishi, kifaa ambacho hutambulisha kitu kingine, tukio, sehemu n.k
Atlanta, Georgia
Atlanta ndiyo mji mkuu wa jimbo la Georgia. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2007, kuna wakazi wapatao milioni 5.4 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 320 juu ya usawa wa bahari
Toyota
Toyota Motor Corporation (NYSE:TM),, au inajulikana tu kama Toyota, ni shirika la kimataifa la Kijapani, mzalishaji wa pili kwa ukubwa duniani ya magari, malori, mabasi na roboti. Makao makuu ya kampuni iko Toyota, Aichi, Japani
Mpira wa miguu
Mpira wa miguu ni mchezo unaochezwa na jumla ya wachezaji ishirini na wawili katika timu mbili, kila timu ikiwa na wachezaji kumi na mmoja