Wapogolo

Wapogolo ni kabila la watu kutoka kusini-kati ya nchi ya Tanzania, hususan mkoa wa Morogoro.
Watemi
Watemi ni watu wa kabila kutoka eneo la Arusha, nchini Tanzania, karibu na mpaka wa Kenya
Wavidunda
Wavidunda ni kabila la watu wa Wilaya ya Kilosa, Mkoa wa Morogoro katika Mashariki-kati ya nchi ya Tanzania
Wawanji
Wawanji ni kabila kutoka wilaya ya Makete, katika milima ya Kipengere ya Mkoa wa Njombe, sehemu ya kusini ya nchi Tanzania
Warungi
Warungi ni kabila la watu kutoka eneo la pwani ya kusini-mashariki ya Ziwa Tanganyika, nchini Tanzania. Mwaka 1987 idadi ya Warungi ilikadiriwa kuwa 166,000
Warungwa
Warungwa ni kabila la watu kutoka eneo la wilaya ya Mpanda, mkoa wa Katavi, magharibi mwa nchi ya Tanzania. Mwaka 1987 idadi ya Warungwa ilikadiriwa kuwa 18,000
Wasuba
Wasuba ni kabila kutoka eneo la Ziwa Viktoria, nchini Tanzania, karibu na mpaka wa Kenya
Wasumbwa
Wasumbwa ni kabila la Watu kutoka eneo la wilaya ya Bukombe, Mkoa wa Geita, Kaskazini mwa nchi ya Tanzania
Muhammed Seif Khatib
Muhammed Seif Khatib alikuwa Mbunge katika Bunge la Tanzania
Watongwe
Watongwe ni kabila la watu kutoka eneo la Ziwa Tanganyika, Wilaya ya Kigoma Vijijini, sehemu ya magharibi ya nchi ya Tanzania. Lugha yao ni Kitongwe
Yulia Raskina
Yulia Raskina ni mwanamichezo wa zamani wa gymnastics ya kupanga na mwalimu kutoka Belarus. Yeye ni mshindi wa medali ya fedha katika Olimpiki ya mwaka 2000, mshindi wa medali ya fedha ya Dunia kwa ujumla mwaka 1999, na mshindi mara mbili wa medali ya