Wamanyema

Wamanyema, ni shirikisho la makabila 12 ya Kibantu yanayopatikana kusini mashariki mwa beseni la mto Kongo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na katika mkoa wa Kigoma nchini Tanzania.
7 Januari
Tarehe 7 Januari ni siku ya saba ya mwaka. Mpaka uishe zinabaki siku 358
14 Februari
Tarehe 14 Februari ni siku ya arubaini na tano ya mwaka. Mpaka uishe zinabaki siku 320
27 Januari
Tarehe 27 Januari ni siku ya ishirini na saba ya mwaka. Mpaka uishe zinabaki siku 338
24 Agosti
Tarehe 24 Agosti ni siku ya 236 ya mwaka. Mpaka uishe zinabaki siku 129
27 Agosti
Tarehe 27 Agosti ni siku ya 239 ya mwaka. Mpaka uishe zinabaki siku 126
27 Februari
Tarehe 27 Februari ni siku ya hamsini na nane ya mwaka. Mpaka uishe zinabaki siku 307
Wahangaza
Wahangaza ni kabila la watu wa Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Kagera, hasa kwenye wilaya za Ngara na Biharamulo. Nje na wilaya hizo wanaishi pia sehemu za Kigoma na Karagwe
Pepo
Pepo ni roho wachafu au wabaya wenye nguvu za Kishetani wanaoweza kumshawishi mtu atende mabaya na hata kumwingilia kwa lengo la kumharibia maisha yake kiroho na kimwili
Kitabu cha Habakuki
Habakuki ni jina la nabii wa Israeli ya Kale na pia la kitabu kinacholeta habari zake katika Tanakh, na kwa hiyo pia katika Agano la Kale, sehemu ya kwanza ya Biblia ya Kikristo
Yulia Raskina
Yulia Raskina ni mwanamichezo wa zamani wa gymnastics ya kupanga na mwalimu kutoka Belarus. Yeye ni mshindi wa medali ya fedha katika Olimpiki ya mwaka 2000, mshindi wa medali ya fedha ya Dunia kwa ujumla mwaka 1999, na mshindi mara mbili wa medali ya