Turibio wa Mongrovejo
Turibio wa Mongrovejo alikuwa askofu wa Kanisa Katoliki nchini Peru.
- Ostspitze
- Ostspitze ni mlima wa Alpi katika nchi ya Uswisi (Ulaya
- Msesewe
- Msesewe ni kiambato cha pombe chenye ungaunga. Unatokana na mti unaoitwa msesewe
- Jumuiya ya ibada za nyumba kwa nyumba
- Jumuiya ya ibada za nyumba kwa nyumba ni ibada maalumu zinazofanyika katika nyumba za Wakristo wa Kilutheri zilizoanzishwa makusudi ili kulinda uwepo wa Mungu miongoni mwa waumini. Zaidi sana ibada hizi zina lengo la kuwakumbusha na kuwakumbatia ili
- Mke Mmoja Waume Watatu
- Mke Mmoja Waume Watatu ni riwaya iliyoandikwa na Muhammed Said Abdulla
- Mto Katuma
- Mto Katuma uko katika Mkoa wa Katavi, Tanzania, na ndio tegemeo la Hifadhi ya Taifa ya Katavi
- Mwerezi
- Mwerezi ni mti wenye historia katika nchi ya Lebanon
- Wanamazingaombwe
- Wanamazingaombwe ni watu wanaoendesha michezo ya kumfanya mtu aone kitu tofauti na kile kinachofanyika au kwa jina lingine kiinimacho
- Buguruka
- Buguruka ni kijiji kilicho kando ya ziwa Viktoria katika kata ya Kanyangereko, Mkoa wa Kagera, Tanzania Kaskazini
- Ununheksi
- Ununhexi ni elementi sintetiki yenye namba atomia 116 kwenye mfumo radidia, uzani atomia ni takriban 289 - 302. Alama yake ni Uuh. Si rahisi kutaja tabia zalke kwa sababu imetengenezwa mara mbili tu katika maabara kama atomi moja-moja
- Yulia Raskina
- Yulia Raskina ni mwanamichezo wa zamani wa gymnastics ya kupanga na mwalimu kutoka Belarus. Yeye ni mshindi wa medali ya fedha katika Olimpiki ya mwaka 2000, mshindi wa medali ya fedha ya Dunia kwa ujumla mwaka 1999, na mshindi mara mbili wa medali ya