Mboo
Mboo au mboro ni kiungo cha uzazi cha kiume ambacho hupitisha shahawa yenye mbegu kutoka mapumbu kupitia kifuko cha akiba kwa kuingizwa katika kuma.
- Bega
- Bega la binadamu ni sehemu ya mwili ambapo mkono unaunganika na kiwiliwili. Ina mfupa wa kilimbili, mfupa wa bega na mtulinga pamoja na misuli, mishipa na tendons zinazohusiana. Mchanganyiko kati ya mifupa ya bega hufanya viungo vya bega
- Muundi
- Muundi ni mfupa mkubwa wa mbele wa mguu ambao unaanzia kifundo hadi goti na umeunganika na mfupa mwingine mdogo ambao umejishikiza kwa sehemu ya pembeni
- Mto Nthunguthu
- Mto Nthunguthu hupatikana katika kaunti ya Kitui, mashariki mwa Kenya. Nthunguthu ni jina la kiasili la korongo. Nthunguthu ni kijito cha katikati kinachojumuishwa katika kikundi H kihaidrolojia
- King'amuzi rada
- King'amuzi rada ni kifaa cha teknolojia ya juu kinachotambua iwapo mwendo wa gari unafwatiliwa na polisi au walinda sheria wakitumia tochi ya kutambua mwendo
- Mlima Gessi
- Mlima Gessi uko katika safu ya milima ya Ruwenzori, kwenye mpaka wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Uganda (Afrika
- Mto Kanyaiti
- Mto Kanyaiti unapatikana katika kaunti ya Nyeri, nchini Kenya. Chanzo cha mto huo ni msitu wa Milima Aberdare upande wa Endarasha
- Ubalehe
- Ubalehe ni jumla ya mabadiliko ya mwili na ya roho yanayomfanya mtoto kuwa kijana halafu mtu mzima
- Simba-milima
- Simba-milima au simba wa milimani ni paka mkubwa wa Amerika. Ni katika nusufamilia Felinae
- Saa ya mkononi
- Saa ya mkononi ni kifaa ambacho hubebwa au kuvalishwa mkononi ambapo hueleza muda
- Yulia Raskina
- Yulia Raskina ni mwanamichezo wa zamani wa gymnastics ya kupanga na mwalimu kutoka Belarus. Yeye ni mshindi wa medali ya fedha katika Olimpiki ya mwaka 2000, mshindi wa medali ya fedha ya Dunia kwa ujumla mwaka 1999, na mshindi mara mbili wa medali ya