Idhaa ya Kiswahili ya Radio Tehran
Idhaa ya Kiswahili Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Archived 15 Februari 2006 at the Wayback Machine. ni huduma ya matangazo ya "Islamic Republic of Iran Broadcasting" (IRIB) ambayo ni redio ya taifa ya Iran (Uajemi) kwa lugha ya Kiswahili.
- Gideon Byamugisha
- Gideon Byamugisha ni kasisi Mwanglikana wa Uganda na mchungaji wa kwanza Mwafrika aliyetangaza wazi ya kwamba ameambukizwa UKIMWI
- Waarabu
- Waarabu ni watu ambao lugha mama yao ni Kiarabu wakijitambua vile
- Omar al-Bashir
- Omar Hasan al-Bashir alikuwa rais wa nchi ya Sudan tangu mwaka 1993 hadi alipopinduliwa mnamo Aprili 2019
- Historia ya Rwanda
- Historia ya Rwanda inahusu eneo la Afrika Mashariki ambalo wakazi wake leo wanaunda Jamhuri ya Rwanda
- Pasaka ya Kiyahudi
- Pasaka ya Kiyahudi ni kati ya sikukuu muhimu zaidi za dini ya Uyahudi. Sikukuu hiyo inakumbuka Wanaisraeli walivyotoka katika utumwa walimokuwemo huko Misri
- Abushiri ibn Salim al-Harthi
- Abushiri ibn Salim al-Harthi alikuwa kiongozi wa upinzani dhidi ya ukoloni wa Wajerumani katika maeneo ya Pangani na pwani ya Tanzania ya leo mnamo 1889
- Oreste Baratieri
- Oreste Baratieri alikuwa mbunge wa Italia, jenerali wa jeshi na gavana wa koloni la Eritrea aliyeongoza Waitalia katika mapigano ya Adowa waliposhindwa vibaya na Ethiopia
- Alexander von Humboldt
- Friedrich Wilhelm Heinrich Alexander Freiherr von Humboldt alikuwa mpelelezi na mwanasayansi kutoka Prussia katika Ujerumani
- Emil von Zelewski
- Emil von Zelewski alikuwa afisa wa jeshi la Ujerumani. Alipokuwa kamanda ya kwanza wa jeshi la ulinzi la kikoloni katika Afrika ya Mashariki ya Kijerumani aliongoza jeshi hilo katika vita dhidi ya Wahehe alipouawa
- Yulia Raskina
- Yulia Raskina ni mwanamichezo wa zamani wa gymnastics ya kupanga na mwalimu kutoka Belarus. Yeye ni mshindi wa medali ya fedha katika Olimpiki ya mwaka 2000, mshindi wa medali ya fedha ya Dunia kwa ujumla mwaka 1999, na mshindi mara mbili wa medali ya