Esmé Frances Hennessy
Esmé Frances Hennessy, née Franklin ni mtaalamu wa mimea, mchoraji wa mimea na mwandishi wa Afrika Kusini.
- Mto White Kei
- Mto White Kei unapatikana katika jimbo la Rasi ya Mashariki, Afrika Kusini
- Mto Verlorevlei
- Mto Verlorevlei unapatikana katika jimbo la Rasi Magharibi, Afrika Kusini. Lango la mto huo linapatikana katika ghuba ya Elands
- Aïda Muluneh
- Aïda Muluneh ni msanii wa kisasa na mpiga picha kutoka nchi ya Ethiopia
- Barbara Adair
- Barbara Adair ni mwandishi wa Afrika Kusini. Riwaya yake ya mwaka 2004 iitwayo In Tangier We Killed the Blue Parrot iliorodheshwa kuwania tuzo ya waandishi wa vitabu ya Sunday Time na riwaya yake iitwayo END iliorodheshwa kuwania tuzo ya jumuiya ya madola
- Bongiwe Dhlomo-Mautloa
- Bongiwe au Bongi Dhlomo-Mautloa ni raia wa Afrika ya Kusini mwenye asili ya Kizulu na hujishughulisha katika uchapishaji na usimamizi wa kazi za sanaa. Pia ni mwanaharakati
- Mawazine
- Mawazine ni tamasha la kimataifa la Morocco inayofanyika kila mwaka huko Rabat, Morocco, ikiwashirikisha wasanii wengi wa muziki wa kimataifa na wazawa. Tamasha hili inaongozwa na Mounir Majidi, katibu wa mfalme wa Morocco, Mohammed VI na mwanzilishi na
- Salha Israel
- Salha Israel ni mwanamitindo na mwigizaji wa filamu nchini Tanzania
- Victoria Kisyombe
- Victoria Kisyombe ni mwanzilishi wa shirika la SELFINA lililopo nchini Tanzania linalohusika na utoaji mikopo midogo kwa wanawake, hasa wajane, kwa lengo la kuwawezesha kujikwamua katika dimbwi la umaskini na utegemezi nchini
- May Balisidya
- May Lenna Balisidya Matteru alikuwa mwandishi wa vitabu vya Kiswahili nchini Tanzania
- Yulia Raskina
- Yulia Raskina ni mwanamichezo wa zamani wa gymnastics ya kupanga na mwalimu kutoka Belarus. Yeye ni mshindi wa medali ya fedha katika Olimpiki ya mwaka 2000, mshindi wa medali ya fedha ya Dunia kwa ujumla mwaka 1999, na mshindi mara mbili wa medali ya