Bonyokwa

Bonyokwa ni jina la kata ya Wilaya ya Ilala katika Mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania yenye msimbo wa posta namba 12120 . Wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, idadi ya wakazi wa kata ilikadiriwa kuwa watu 34061.
Maskarena
Maskarena ni funguvisiwa katika Bahari Hindi takriban 900 km mashariki ya Madagaska. Kwa jumla ni visiwa vya dola la Morisi pamoja na kisiwa cha Kifaransa cha Réunion
Mkondo wa Atlantiki ya Kaskazini
Mkondo wa Atlantiki ya Kaskazini ni jina la sehemu ya kaskazini ya "mkondo wa Ghuba
Standard English-Swahili Dictionary
Madan-Johnson's Standard English-Swahili Dictionary iliandaliwa na wataalamu wa "Inter-territorial Language (Swahili) committee to the East African Dependencies" baada ya Vita Kuu ya Kwanza kwa ajili ya maeneo chini ya utawala wa Uingereza katika Afrika
Bendera ya Zambia
Bendera ya Zambia ni ya kijani. Katika kona ya chini kuna eneo ndogo la milia mitatu ya kusimama ya nyekundu, nyeusi na dhahabu. Juu yake iko tai ya dhahabu
Kamusi Awali ya Sayansi na Tekinologia
KAST ni kifupi chake cha "Kamusi Awali ya Sayansi na Tekinologia" iliyoandaliwa na wataalamu wa TUKI na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam mwaka 1995
Delta ya barani
Delta ya barani ni eneo nchini na mbali na bahari ambapo mto unapanuka kwa umbo la delta
Bendera ya Guinea
Bendera ya Guinea ina milia mitatu ya kusimama yenye rangi za nyekundu, njano na kijani - kibichi. Rangi hizi ziko pia kwenye bendera ya Ethiopia na ya Ghana zinaonyesha athira za Ethiopia na pia Ghana
Afrika ya Kati
Afrika ya Kati ni kanda la bara la Afrika iliyoko katikati ya bara. Katika hesabu ya Umoja wa Mataifa (UM) nchi 9 zifuatazo huhesabiwa kuwa sehemu zake
Sale (mji)
Salé ni mji wa Moroko
Alan Hastings
Alan Matthew Hastings ni mwanaekolojia wa hisabati na profesa mashuhuri katika Idara ya Sayansi ya Mazingira na Sera katika Chuo Kikuu cha California, Davis